Back to home
Wafugaji katika kaunti ya Samburu wawaimbia mifugo nyimbo wanapokunywa maji
video
C
Citizen TV (Youtube)May 14, 2026
3h ago
Jamii ya wafugaji ya wasamburu yakumbatia mfumo wa kuwaimbia mifugo ili kuwanywesha maji wanapowapeleka mtoni kukata kiu. Mbinu hiyo hukumbatiwa na wafugaji hususan msimu wa ukame
Advertisement
Advertisement





