Back to home

Juhudi za kuhakikisha vyeti vya masomo vinatambulika kote Afrika zimepata msukumo mpya

video
N
NTV Kenya (Youtube)
May 14, 2026
3h ago
Juhudi za kuhakikisha vyeti vya masomo vinatambulika kote Afrika zimepata msukumo mpya, baada ya Mamlaka ya Kitaifa ya Sifa (KNQA) kuandaa mkutano wa kwanza wa kihistoria jijini Nairobi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Keny
Advertisement