Back to home
Natembeya akosoa serikali kwa kuwahangaisha wafuasi wake
video
C
Citizen TV (Youtube)May 15, 2026
1h ago
Gavana wa kaunti ya Trans Nzoia George Natembeya aitaka serikali kuwacha kuwadhulumu wale wanaokosoa serikali, akisema hali hiyo inawanyima Wakenya uhuru wao wa kidemokrasia na haki ya kutoa maoni yao kwa uwazi.
Advertisement
Advertisement




