Back to home

Natembeya akosoa serikali kwa kuwahangaisha wafuasi wake

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 15, 2026
1h ago
Gavana wa kaunti ya Trans Nzoia George Natembeya aitaka serikali kuwacha kuwadhulumu wale wanaokosoa serikali, akisema hali hiyo inawanyima Wakenya uhuru wao wa kidemokrasia na haki ya kutoa maoni yao kwa uwazi.
Advertisement