Back to home
Hassan Omar aseam chama cha UDA kina ushawishi mkubwa kote nchini baada ya ushindi wa Emurua Dikirr
video
N
NTV Kenya (Youtube)May 15, 2026
1h ago
Katibu mkuu wa chama cha UDA, Hassan Omar Hassan, ametetea matokeo ya chama hicho katika uchaguzi mdogo uliofanyika jana. Omar ametaja ushindi wa UDA katika maeneo bunge ya Emurua Dikirr kama thibitisho tosha kuwa chama hicho tawala bado kina ushawishi mkubwa kote nchini .
Subsc
Advertisement
Advertisement




