Back to home

Ajira za SMASCO Saudi Arabia

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 15, 2026
2h ago
Zoezi la kuwasajili madereva wa malori makubwa kwa nafasi za ajira nchini Saudi Arabia linaendelea leo kwa siku ya tatu katika uwanja wa Tononoka jijini Mombasa. M-Ajira, chini ya mwavuli wa EXECUGET kwa ushirikiano na SMASCO, imekita kambi jijini humo kusaka zaidi ya madereva 50
Advertisement