Back to home
Uwanja wa Kimataifa wa Talanta wafikia asilimia 91, Kenya yajipanga AFCON 2027
video
C
Citizen TV (Youtube)May 15, 2026
4h ago
Waziri wa Michezo Salim Mvurya amesema kuwa Uwanja wa Kimataifa wa Talanta, maarufu kama Raila Odinga Stadium, sasa umekamilika kwa asilimia 91 huku Kenya ikijiandaa kuwa mwenyeji wa AFCON 2027.
Advertisement
Advertisement




