Back to home
Penzi la mauti Kilimani | Mwanaume amuua mpenziwe kwa kumdunga kisu
video
C
Citizen TV (Youtube)May 15, 2026
4h ago
Katika tukio jingine la mauaji lililoripotiwa, msichana mmoja ameuawa baada ya kudungwa kisu na mtu anayesemekana kuwa mpenziwe katika eneo la Kilimani jijini Nairobi.
Runinga ya Citizen imesema imekusanya picha za CCTV zinazoonyesha marehemu akijaribu kukimbia kutafuta usalama
Advertisement
Advertisement





