Back to home
Ruto asifu mfumo wa CBE, asema serikali inaongeza uwekezaji katika elimu kuimarisha usawa wa fursa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 15, 2026
4h ago
Rais William Ruto amesema kuwa serikali yake inaendelea kuwekeza zaidi katika sekta ya elimu kama njia ya kuhakikisha usawa wa fursa kwa wanafunzi kutoka jamii mbalimbali nchini.
Advertisement
Advertisement





