Back to home
Familia ya Anne Keya Ahuna yatambua mwili huku uchunguzi wa mauaji ukiendelea
video
C
Citizen TV (Youtube)May 16, 2026
2h ago
Siku mbili baada ya mauaji ya Anne Keya Ahuna mtaani Kilimani, familia yake imetambua na kuthibitisha mwili wake katika makafani ya City.
Imebainika kuwa mshukiwa wa tukio hilo na marehemu walikuwa na uhusiano ulioanzia Kirinyaga. Ripoti zinaonyesha kuwa mahusiano yao yalikumbwa
Advertisement
Advertisement





