Back to home
Washukiwa watatu wa ujambazi wauawa katika operesheni ya polisi Transmara Kusini
video
C
Citizen TV (Youtube)May 16, 2026
2h ago
Maafisa wa polisi eneo la Transmara Kusini wamewauwa kwa kupiga risasi washukiwa watatu wa ujambazi ambao inadaiwa wamekuwa wakisakwa kutokana na mauaji ya wafanyabiashara katika eneo hilo. Katika operesheni hiyo maalum, maafisa hao walipata bunduki ya AK47, Visu na silaha kadhaa
Advertisement
Advertisement





