Back to home

Washukiwa watatu wa ujambazi wauawa katika operesheni ya polisi Transmara Kusini

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 16, 2026
2mo ago
Maafisa wa polisi eneo la Transmara Kusini wamewauwa kwa kupiga risasi washukiwa watatu wa ujambazi ambao inadaiwa wamekuwa wakisakwa kutokana na mauaji ya wafanyabiashara katika eneo hilo. Katika operesheni hiyo maalum, maafisa hao walipata bunduki ya AK47, Visu na silaha kadhaa

More on this topic

Mukuru kwa Ruben Residents Protest Kenya Power Electricity Disconnection - May 2026

Residents of Mukuru kwa Ruben have staged protests following Kenya Power's decision to disconnect electricity supply to the informal settlement. Three suspected robbers have been killed by police in Transmara South during a special operation, with the suspects reportedly being sought for the murder of local businessmen. A 60-year-old woman has been discovered deceased in what is being treated as a suspected murder in Nakuru County's Eni-ng'ang'a village.

4 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement