Back to home
Murkomen asema uchunguzi waanza baada ya mwanamke kushambuliwa kasarani
video
C
Citizen TV (Youtube)May 17, 2026
6h ago
Waziri wa Usalama, Kipchumba Murkomen, amesema kuwa maafisa wa usalama wanachunguza kisa cha kuchomwa moto kwa mwanamke aliyechora picha ya Rais William Ruto begani mtaani Kasarani.
Murkomen pamoja na Inspekta Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja, walimtembelea mwathiriwa Rachael W
Advertisement
Advertisement




