Back to home
Mgogoro waibuka kati ya John Mbadi na familia ya Odinga
video
C
Citizen TV (Youtube)May 17, 2026
8h ago
Mgogoro mpya unatokea kati ya Waziri wa Hazina ya Kitaifa, John Mbadi, na familia ya Odinga kufuatia matamshi yake kuhusu usimamizi wa chama cha ODM. Kauli ya Mbadi kwamba Raila hayupo tena imeonekana kuwakera mjane wa Raila, Ida Odinga, pamoja na mwanawe marehemu Winnie Odinga n
Advertisement
Advertisement




