Back to home
Chama cha mawakili kimeshutumu serikali kwa bei ya mafuta
video
C
Citizen TV (Youtube)May 18, 2026
13h ago
Chama cha Mawakili nchini Kenya, LSK kimeshtumu serikali kwa kile kinachotaja kama kutokosa mpango kuhusu bei ya mafuta na umeme. Chama hicho kinasema ongezeko la hivi karibu la bei ya mafuta na gharama zinazohusiana na umeme limewasukuma mamilioni ya Wakenya kuwa katika hali ngu
Advertisement
Advertisement





