Back to home
Wahudumu wa matatu Bomet wataka serikali kupunguza bei ya mafuta
video
C
Citizen TV (Youtube)May 18, 2026
1h ago
Tukielekea kaunti Bomet shughuli za usafiri zilitatizwa na mgomo wa wahudumu wa magari ambapo baadhi ya madereva walichoma magurudumu huku wakiegesha magari yao ishara kwamba wamekerwa na kupanda kwa bei ya mafuta. Baadhi ya wafanyabiashara vilevile wamesema wamepata idadi ndogo
Advertisement
Advertisement





