Back to home
Wafanyibiashara mjini Busia wahangaika kwa kukosa huduma za usafiri
video
C
Citizen TV (Youtube)May 18, 2026
1h ago
Shughuli za usafiri mjini busia zimekwama huku abiria na wafanyabiashara wakisalia kuhangaika kufuatia mgomo wa kulalamikia ongezeko la bei ya mafuta.
Kulingana na baadhi ya abiria na wafanyabiashara, shughuli zao zilitatizika pakubwa kuanzia mapema hii leo kutokana na mgomo huo,
Advertisement
Advertisement





