Back to home
Abiria wakwama katika kituo cha mabasi Kitale kufuatia mgomo wa wahudumu wa usafiri
video
C
Citizen TV (Youtube)May 18, 2026
1h ago
Katika Kaunti ya Trans Nzoia, abiria walilazimika kupiga kambi katika Kituo cha Magari mjini Kitale baada ya kituo hicho kusalia mahame, hali iliyosababisha huduma za uchukuzi kulemazwa kwa muda. Wameipa serikali muda wa kushusha bei ya mafuta wakisema gharama ya juu ya mafuta nd
Advertisement
Advertisement





