Back to home
Shule ya Mbooni girls yafungwa baada ya ugonjwa wa kuendesha na kutapika waathiri wanafunzi 40
video
C
Citizen TV (Youtube)May 20, 2026
1h ago
Shule ya kitaifa ya wasichana ya Mbooni kaunti ya Makueni imefungwa kwa muda usiojulikana baada ya wanafunzi zaidi ya 40 kupata ugonjwa wa kuendesha na kutapika .
Advertisement
Advertisement





