Back to home
Wahudumu wa magari wasema abiria wakataa nauli katika eneo la Kisii
video
C
Citizen TV (Youtube)May 20, 2026
2h ago
Madereva na wamiliki wa magari mjini Kisii wanaendelea kulalamikia idadi ndogo ya abiria licha ya mgomo kuisha.Wengi wasema kuwa walilazimika kuongeza nauli kwa kiwango kidogo ila abiria waonekana kusuusia kuabiri magari kutokana na gharama ya usafiri.
Advertisement
Advertisement





