Back to home
LSK yaelekea mahakamani kupinga bei mpya ya mafuta
video
C
Citizen TV (Youtube)May 20, 2026
2h ago
Law Society of Kenya kimeelekea mahakamani kupinga gharama ya juu ya mafuta nchini.
LSK imesema kuwa bei mpya ya mafuta itawaathiri Wakenya na kuhujumu uchumi wa taifa.
Chama hicho sasa kinaitaka mahakama kuiagiza Wizara ya Kawi kuangazia upya gharama ya mafuta na kuweka wazi mfu
Advertisement
Advertisement





