Back to home
Serikali yahimiza matumizi ya teknolojia mpya katika sekta ya ujenzi na barabara
video
C
Citizen TV (Youtube)May 21, 2026
1h ago
Serikali imewahimiza wataalamu katika sekta ya barabara na ujenzi nchini kuachana na mbinu za jadi na badala yake kuimarisha utafiti kupitia mifumo mipya ili kukabiliana na changamoto zinazosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi
Advertisement
Advertisement





