Back to home

Rais William Ruto atoa hatimiliki za ardhi katika eneo la Pwani

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 21, 2026
1h ago
Rais aanza ziara hiyo kwa kutoa hati miliki 33,000 katika hafla iliyoandaliwa katika bustani ya mama ngina kaunti ya Mombasa. Rais Ruto asema kuwa hatua hiyo itatoa tiba ya uskwota katika kaunti za mombasa, Kilifi, Tana River, Taita taveta na lamu. Rais ruto aidha ameitaka wizara
Advertisement