Back to home
Ruto azindua ziara Pwani, akabidhi hati miliki 33,000 Mombasa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 21, 2026
1h ago
Rais William Ruto ameanza rasmi ziara yake ya siku tano katika kaunti za Pwani kwa kutoa hati miliki 33,000 katika hafla iliyofanyika katika Bustani ya Mama Ngina, Kaunti ya Mombasa.
Ruto amesema kuwa hatua hiyo itasaidia kutatua changamoto ya uskwota katika kaunti za Pwani.
Advertisement
Advertisement




