Back to home

Wito watolewa kwa IPOA kumulika utendakazi wa maafisa wa polisi mjini Busia

video
N
NTV Kenya (Youtube)
May 22, 2026
2d ago
Wito umetolewa kwa mamlaka huru ya kutathmini utendakazi wa polisi nchini (IPOA) kumulika utendakazi wa maafisa wa polisi mjini Busia. Hii ni baada ya watu wasiopungua wawili kuaga dunia kwa kupigwa risasi na maafisa wa polisi . #NTVAdhuhuri @FredMuitiriri Subscribe and watch
Advertisement