Back to home

Maonyesho ya vyakula vya kiasili yafanyika Kiserian, Kajiado

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 22, 2026
4h ago
Wadau wa kilimo hai wawataka wakulima kupunguza matumizi ya kemikali mashambani wakisema kuwa matumizi ya dawa za kuua kwekwe yanaendelea kuhatarisha afya ya binadamu pamoja na kuharibu udongo. Haya yajiri wakati wa maonyesho ya utamaduni yaliyoandaliwa Kiserian katika kaunti ya
Advertisement