Back to home
Jamii ya Talai iliyoko Nandi yataka wadi ya Kapsisiywa irejeshwe
video
C
Citizen TV (Youtube)May 22, 2026
4h ago
Jamii ya Talai inayoishi Kaunti ya Nandi yataka serikali kurejesha Wadi ya Kapsisiywa iliyokuwepo kabla ya kutangazwa kwa Katiba ya mwaka 2010, wakisema hatua hiyo yasaidia kuharakisha maendeleo katika eneo hilo.
Advertisement
Advertisement





