Back to home

Mahakama ya Michezo yasitisha mechi ya Gor Mahia dhidi ya Mara Sugar FC

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 22, 2026
1h ago
Mahakama ya Migogoro ya Michezo nchini imesimamisha mechi ya Ligi Kuu ya kandanda kati ya Gor Mahia na Mara Sugar FC ambayo ilipangwa kufanyika katika Uwanja wa Raila Odinga Stadium, Homa Bay, Jumapili.
Advertisement