Back to home
Familia za waathiriwa wa maandamano zataka haki baada ya vifo vya ghafla
video
C
Citizen TV (Youtube)May 22, 2026
1h ago
Familia za waathiriwa wa maandamano ya Jumatatu ya kupinga bei ya juu ya mafuta zinaendelea kuomboleza vifo vya ghafla vya wapendwa wao.
Huko Naivasha, Kaunti ya Nakuru, familia ya kijana wa miaka 17 inalilia haki baada ya kijana huyo kupigwa risasi na maafisa wa usalama alipokuw
Advertisement
Advertisement





