Back to home

Mgomo wa uchukuzi wasitishwa, Ruto aahidi nafuu ya bei ya diseli

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 22, 2026
1h ago
Mgomo katika sekta ya uchukuzi wa umma sasa umesitishwa rasmi baada ya mazungumzo kati ya rais William Ruto na viongozi wa sekta hiyo. Rais Ruto akitangaza kuwa bei ya diseli itapunguzwa na zaidi na shilingi 10 mwezi ujao kama mojawapo ya hatua za kuwasaidia wakenya kumudu gharam
Advertisement