Back to home

Serikali yajitenga na matamshi ya wizi wa kura mwaka wa 2027 kwa manufaa ya rais Ruto

video
N
NTV Kenya (Youtube)
May 25, 2026
56m ago
Serikali imejitenga na matamshi ya Naibu Gavana wa Kakamega Ayub Savula na Mbunge Charles Gimose, yaliyohusisha Ikulu na tume ya uchaguzi IEBC na madai ya wizi wa kura mwaka wa 2027 kwa manufaa ya Rais William Ruto. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today
Advertisement