Back to home
Oburu Oginga atangaza kujitetea Siaya, Wanga aendeleza ugavana Homa Bay
video
C
Citizen TV (Youtube)May 25, 2026
1h ago
Kinara wa chama cha ODM, Oburu Oginga, amesema kuwa atatetea kiti chake cha seneti katika kaunti ya Siaya, huku mwenyekiti wa chama hicho Gladys Wanga akitangaza azma yake ya kuendelea kuhudumu kama gavana wa kaunti ya Homa Bay. Haya yanajiri wakati ODM ikiweka mikakati ya kuonge
Advertisement
Advertisement





