Back to home

Maandamano Mbale Vihiga baada ya mauaji ya mwanafunzi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 25, 2026
1h ago
Shughuli za biashara zimetatizwa mjini Mbale, kaunti ya Vihiga, baada ya mamia ya wakazi kuandamana wakilalamikia ubakaji na mauaji ya mtoto wa darasa la tisa. Waandamanaji hao, wakiwemo wanaharakati, walitembea kwa takribani kilomita tano hadi afisi ya kamishna wa kaunti huku wa
Advertisement