Back to home
Mahujaji wa Kiislamu waelekea Mlima Arafat kuadhimisha siku kuu ya Hija
video
C
Citizen TV (Youtube)May 26, 2026
1h ago
Mahujaji wa Kiislamu walioko nchini Saudi Arabia wameondoka alfajiri ya leo kuelekea katika Milima ya Arafat kuadhimisha siku inayochukuliwa kuwa muhimu zaidi katika ibada ya Hija.
Waumini hao wameonekana wakitembea kuelekea eneo la Jabal Arafat huku wengine wakipanda milimani w
Advertisement
Advertisement





