Back to home

Mwanamke bomba | Mariam Ibrahim Ndung’u aibuka nyota wa ulengaji shabaha akiwa na miaka 17

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 26, 2026
1h ago
Akiwa na umri wa miaka 17 pekee, Mariam Ibrahim Ndung’u tayari ametambulika katika viwango mbalimbali vya mchezo wa ulengaji shabaha, ambapo amejizolea medali nyingi na kujizolea sifa kama mmoja wa wanamichezo chipukizi wenye mafanikio makubwa. Mariam Ibrahim Ndung'u ameeleza
Advertisement