Back to home
Wabunge wanaomuunga mkono Gachagua wamkashifu Cecily Mbarire
video
C
Citizen TV (Youtube)May 27, 2026
54m ago
Kundi la wabunge wanaomuunga mkono kinara wa DCP Rigathi Gachagua limemkashifu mwenyekiti wa chama cha UDA Cecily Mbarire kufuatia barua aliyomwandikia Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, iliyodai kuwa utawala wake kama rais ulichangiwa pakubwa na utendakazi wa serikali ya Kenya Kwanza.
Advertisement
Advertisement





