Back to home

Waislamu waadhimisha Eid Ul Adha huku wakilalamikia gharama ya maisha

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 27, 2026
2h ago
Waislamu kote nchini leo wameungana na wenzao duniani kuadhimisha sherehe za sikukuu ya Eid Ul Adha. Kupanda kwa gharama ya maisha na cheche za siasa zilisheheni jumbe za Eid katika sehemu nyingi. Aidha, Wakenya waliozungumza wameitaka serikali kushusha gharama ya maisha na kuhim
Advertisement