Back to home
Kilimo cha mrehani chafungua masoko ya kimataifa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 27, 2026
53m ago
Kilimo cha mrehani unaojulikana kwa lugha ya Kiingereza kama basil kimeanza kushika kasi katika maeneo kame nchini. Katika eneo la Kamulu, mkulima mmoja anakuza viungo vya mrehani ndani ya kivungulio akilenga masoko ya kigeni. Kwenye Kilimo Biashara jioni ya leo, mwanahabari wetu
Advertisement
Advertisement




