Back to home
Uhakiki wa DNA waanza kutambua miili ya wanafunzi walioteketea kwa mkasa wa moto shuleni Utumishi
video
C
Citizen TV (Youtube)May 29, 2026
2h ago
Shughuli ya kuchukua sampuli za msimbojeni yaani DNA za kusaidia kutambua miili ya wanafunzi walioangamia katika mkasa wa moto katika shule ya wasichana ya Utumishi eneo la Giligil imeanzishwa hii Leo. Hata hivyo, baadhi ya wazazi wameghadhabishwa na mwendo wa kinyonga wa shughu
Advertisement
Advertisement




