Back to home

Waathiriwa wa maandamano ya Mswada wa Fedha 2024 wataka fidia kulipwa haraka

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 29, 2026
2h ago
Kundi la waathiriwa wa maandamano dhidi ya mswada wa fedha wa mwaka 2024 wametaka serikali kutoa pesa za fidia upesi kama alivyoahidi rais william ruto. Wakizungumza katika afisi za Amnesty International hapa jijini Nairobi, waathiriwa hao wanataka ufafanuzi kutoka kwa serikali k
Advertisement