Back to home

Washikadau wahamasisha jamii kupambana na mauaji ya wanawake na dhulma za kijinsia

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 1, 2026
1h ago
Katika jitihada za kukabiliana na visa vya mauaji ya wanawake pamoja na dhulma za kijinsia, washikadau mbalimbali wanaendelea kuhamasisha jamii kupitia mbinu mbadala za kuzuia na kushughulikia changamoto hiyo.
Advertisement