Back to home
Mamlaka za afya katika kaunti ya Embu zaimarisha ufuatiliaji wa ugonjwa wa Mpox
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 1, 2026
2h ago
Mamlaka za afya katika Kaunti ya Embu zimeimarisha ufuatiliaji wa magonjwa na hatua za kukabiliana nayo baada ya kuthibitishwa kwa kisa cha kwanza cha ugonjwa wa Mpox katika kaunti hiyo.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Ken
Advertisement
Advertisement





