Back to home
Aliyekuwa mlinzi wa Raila Odinga asimulia siku ya mwisho ya Raila India
video
C
Citizen TV (Youtube)June 1, 2026
1h ago
Kwa mara ya kwanza, aliyekuwa mlinzi wa Raila Odinga, Maurice Ogeta, ameelezea siku ya mwisho ya Raila akiwa nchini India.
Ogeta, ambaye alikuwa pamoja na Raila katika siku hiyo, ameeleza jinsi alivyojipata katika mazingira ya huzuni baada ya kukumbana na taarifa za kifo chake.
Advertisement
Advertisement




