Back to home

Gor Mahia yawasilisha mataji kwa familia ya Raila Odinga Karen

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 1, 2026
59m ago
Klabu ya Gor Mahia imewasilisha kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya FKF pamoja na kombe la ODM@20 kwa familia ya marehemu Raila Odinga katika makazi yake ya Karen, Nairobi. Akizungumza wakati wa hafla hiyo, mwenyekiti wa Gor Mahia Ambrose Rachier amesema timu hiyo imetimiza matakwa
Advertisement