Back to home
Polisi Kisii wachunguza mauaji ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kenyatta
video
C
Citizen TV (Youtube)June 1, 2026
1h ago
Polisi katika Kaunti ya Kisii wameanzisha uchunguzi kufuatia mauaji ya mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Kenyatta.
Kwa mujibu wa familia, kijana huyo kwa jina Elijah Gichogo Nyambega alitekwa nyara na watu wasiojulikana kabla ya mwili wake kupatikana siku tatu baad
Advertisement
Advertisement





