Back to home

Waandamanaji Nairobi wataka hatua kali dhidi ya mauaji ya wanawake na watoto

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 1, 2026
1h ago
Mamia ya waandamanaji wamejitokeza katikati ya jiji la Nairobi wakilalamikia kile wanachokitaja kuwa utepevu wa polisi na serikali katika kukabiliana na visa vya mauaji ya wanawake, pamoja na matukio ya kutoweka na kuuawa kwa watoto. Waandamanaji hao wametaka hatua za haraka kuc
Advertisement