Back to home
Maanadamano yaandaliwa jijini Nairobi kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 1, 2026
1h ago
Huku taifa likiadhimisha sherehe za 63 za Madaraka, hapa jijini Nairobi, vikundi vya haki kwa ushirikiano Waliadhimisha Siku hii kwa Kikao cha Ukumbusho na maandamano ya amani katikati mwa jiji, wakidai haki kwa waathiriwa wa mauaji ya wanawake na ukatili dhidi ya watoto.
Subsc
Advertisement
Advertisement





