Back to home
Uamuzi wa serikali kujenga karantini ya Ebola nchini wazua hisia mseto Makueni
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 1, 2026
1h ago
Joto la karantini ya Ebola
Mpango wa serikali ya kitaifa wa kuwezesha uwekaji karantini na usimamizi wa wagonjwa wa Ebola Wa Marejani hapa nchini umeendelea kuzua hisia mseto miongoni mwa viongozi na wananchi.
#NTVAdhuhuri @ruga_eval
Subscribe and watch NTV Kenya live for la
Advertisement
Advertisement





