Back to home

Serikali yahimizwa kuwapa wafugaji mafunzo maalum kuhusu viwango vya ubora katika soko la kimataifa,

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 2, 2026
1h ago
Balozi wa Kenya nchini Uchina Will Bett, atoa changamoto kwa baraza la ubora wa ngozi nchini KLDC, kuhakikisha wafugaji wa humu nchini wanahamasishwa kikamilifu kuhusu viwango vya ubora katika soko la kimataifa, ili bidhaa zao zisifungiwe nje kwenye soko la Uchina lililofungua mi
Advertisement