Back to home

Vyama vya walimu katika Kaunti ya Embu walalamikia hatua ya mbunge kumshambulia mwalimu mkuu

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 2, 2026
1h ago
Vyama vya walimu katika Kaunti ya Embu vyakosoa vikali kile walichokitaja kama kuingiliwa kwa usimamizi wa shule na wanasiasa kufuatia tukio lililomhusisha Mbunge wa eneo hilo na mkuu wa Shule ya Upili ya Wasichana ya Bakhita Siakago.
Advertisement