Back to home
Natembeya adai kuna ubaguzi katika utoaji wa vitambulisho vya kitaifa nchini
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 2, 2026
2h ago
Gavana Natembeya ameibua wasiwasi kuhusu kile alichokitaja kuwa ubaguzi katika utoaji wa vitambulisho vya kitaifa nchini akidai kuwa baadhi ya maeneo yanapendelewa huku mengine yakiachwa nyuma katika mchakato huo.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today
Advertisement
Advertisement

