Back to home

Waziri Ruku ataka wakenya kuchukua vitambulisho vyao

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 8, 2026
2h ago
Waziri wa utumishi wa umma Geoffrey Ruku amehimiza wakenya ambao vitambulisho vyao vya kitaifa vingali kwenye vituo vya huduma kote nchini kuvichukua na kujisajili kuwa wapigakura. Akizungumza alipozuru kituo cha huduma cha Garissa, Ruku amesema kuwa inatamausha kuona vitambulish
Advertisement